Peponi by Abdulrazak Gurnah
By Abdulrazak GurnahPeponi by Abdulrazak Gurnah
Mzaliwa wa Afrika ya Mashariki, Yusuf anaondoka kwao kwa ghafla akiwa na umri wa miaka kumi na mbili. Haimjii hata kwa sekunde moja, kwamba atakuwa mbali na wazazi wake kwa muda mrefu, na wala hafikirii kuuliza atarudi lini au kwa nini safari iliandaliwa kwa ghafla kiasi kile. Yusuf anaamini kuwa anamsindikiza Ami Aziz lakini ukweli ni kwamba 'ami' yake ni Mfanyabiashara, tena tajiri mkubwa, na Yusuf amewekwa rehani ili kulipia madeni ya baba yake.
Yusuf anajikuta anasafiri katika miji na vitongoji vingi vingine ambako anakutana na watu wa kila namna. Anabalehe na kukua kwenye dunia inayobadilika kwa kasi kutokana na kuingia kwa ukoloni na udhalimu wake na jamii kuharibika kwa kuvurugwa kwa utamaduni wake.
Hii ni tafsiri ya kwanza kwa riwaya za Abdulrazak Gurnah katika lugha ya Kiafrika.
Abdulrazak Gurnah ni mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi ya mwaka 2021. Ameandika riwaya kumi ikiwemo hii ya paradise. Gurnah ni Profesa wa Masomo ya Kiingereza na Fasihi za Kikoloni katika Chuo Kikuu cha Kent.
Dkt. Ida Hadjivayanis ni Mhadhiri Mwandamizi wa Masomo ya Kiswahili SOAS, Chuo kikuu cha London. Ametafsiri riwaya kadhaa kwa Kiswahili na Kiingereza.
Book details
- Paperback
- 262 pages
- English
- 9987449867
- 9789987449866
About Abdulrazak Gurnah
abdulrazak gurnah was born in 1948 in zanzibar and lives in england, where he teaches at the university of kent. he is the author of seven novels, which in Read More about Abdulrazak Gurnah
More Books By Abdulrazak Gurnah
People who bought this also bought
Ethnicity and Conflict in the Horn of Africa book by John Markakis
Doglapan : The Hard Truth about Life and Start-Ups book by Ashneer Grover
Talking to My Daughter: A Brief History of Capitalism book by Yanis Varoufakis
Rumba Rules: The Politics of Dance Music in Mobutu's Zaire book by Bob W. White
Thou Shall Prosper: Ten Commandments for Making Money book by Rabbi Daniel Lapin
The Billionaire Who Wasn't: How Chuck Feeney Secretly Made and Gave Away a Fortune book by Conor O'Clery
Success to Significance- Dr. Manu Chandaria's biography by Kwendo Opanga, Charles Wachira
Africa's Business Revolution: How to Succeed in the World's Next Big Growth Market book by Acha Leke
Audacity and Sacrifice: My Life and Career book by Judge Lee Gacuiga Muthoga
Kingmakers: The Invention of the Modern Middle East book by Karl E. Meyer
Pour Your Heart Into It: How Starbucks Built a Company One Cup at a Time book by Howard Schultz
Clockwork: Design Your Business to Run Itself book by Mike Michalowicz
Bhagvad Gita As It Is book by His Divine Grace A.C. Bhaktivedanta Swami Prabhupada
How to Give Up Plastic: A Guide to Changing the World, One Plastic Bottle at a Time book by Will McCallum
Women Who Think Too Much: How to Break Free of Overthinking and Reclaim Your Life book by Susan Nolen-Hoeksema
The Speed of Trust: The One Thing that Changes Everything book by Stephen M.R. Covey
HBR's 10 Must Reads Boxed Set (6 Books) (HBR's 10 Must Reads)
Teen to Teen: 365 Daily Devotions by Teen Girls for Teen Girls book by Patti M. Hummel