Peponi by Abdulrazak Gurnah
By Abdulrazak GurnahPeponi by Abdulrazak Gurnah
Mzaliwa wa Afrika ya Mashariki, Yusuf anaondoka kwao kwa ghafla akiwa na umri wa miaka kumi na mbili. Haimjii hata kwa sekunde moja, kwamba atakuwa mbali na wazazi wake kwa muda mrefu, na wala hafikirii kuuliza atarudi lini au kwa nini safari iliandaliwa kwa ghafla kiasi kile. Yusuf anaamini kuwa anamsindikiza Ami Aziz lakini ukweli ni kwamba 'ami' yake ni Mfanyabiashara, tena tajiri mkubwa, na Yusuf amewekwa rehani ili kulipia madeni ya baba yake.
Yusuf anajikuta anasafiri katika miji na vitongoji vingi vingine ambako anakutana na watu wa kila namna. Anabalehe na kukua kwenye dunia inayobadilika kwa kasi kutokana na kuingia kwa ukoloni na udhalimu wake na jamii kuharibika kwa kuvurugwa kwa utamaduni wake.
Hii ni tafsiri ya kwanza kwa riwaya za Abdulrazak Gurnah katika lugha ya Kiafrika.
Abdulrazak Gurnah ni mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi ya mwaka 2021. Ameandika riwaya kumi ikiwemo hii ya paradise. Gurnah ni Profesa wa Masomo ya Kiingereza na Fasihi za Kikoloni katika Chuo Kikuu cha Kent.
Dkt. Ida Hadjivayanis ni Mhadhiri Mwandamizi wa Masomo ya Kiswahili SOAS, Chuo kikuu cha London. Ametafsiri riwaya kadhaa kwa Kiswahili na Kiingereza.
Book details
- Paperback
- 262 pages
- English
- 9987449867
- 9789987449866
About Abdulrazak Gurnah
abdulrazak gurnah was born in 1948 in zanzibar and lives in england, where he teaches at the university of kent. he is the author of seven novels, which in Read More about Abdulrazak Gurnah
More Books By Abdulrazak Gurnah
People who bought this also bought
The Shaping of Things to Come: Innovation and Mission for the 21st-Century Church book by Michael Frost
This is Going to Hurt: Secret Diaries of a Junior Doctor book by Adam Kay
The Square and the Tower: Networks and Power, from the Freemasons to Facebook book Niall Ferguson
Winners Take All: The Elite Charade of Changing the World book by Anand Giridharadas
Everyday Encouragement (Spiritual Refreshment for Women) book by Pamela McQuade
The How of Happiness: A New Approach to Getting the Life You Want book by Sonja Lyubomirsky
The Courage to be Rich: Creating a Life of Material and Spiritual Abundance book by Suze Orman
Leading With Questions: How Leaders Find the Right Solutions by Knowing What to Ask book by Michael J. Marquardt
Saudi Arabia (Countries of the World) book by Dynise Balcavage
Identity: The Demand for Dignity and the Politics of Resentment book by Francis Fukuyama
Your Best Life Now: 7 Steps to Living at Your Full Potential book by Joel Osteen
The Way Home: Discovering the Hero's Journey to Wholeness at Midlife book by Ben Katt
The San Francisco Chronicle Cookbook Volume II book by Michael Bauer
Crazy Faith: It's Only Crazy Until It Happens book by Michael Todd
Sacrilege: Finding Life in the Unorthodox Ways of Jesus book by Hugh Halter
Guns, Germs, and Steel: The Fates of Human Societies book by Jared Diamond
From Third World to First World: The Singapore Story 1965-2000 book by Lee Kuan Yew
Censorship: How Does It Conflict With Freedom? (Issues of Our Time)