Peponi by Abdulrazak Gurnah
By Abdulrazak GurnahPeponi by Abdulrazak Gurnah
Mzaliwa wa Afrika ya Mashariki, Yusuf anaondoka kwao kwa ghafla akiwa na umri wa miaka kumi na mbili. Haimjii hata kwa sekunde moja, kwamba atakuwa mbali na wazazi wake kwa muda mrefu, na wala hafikirii kuuliza atarudi lini au kwa nini safari iliandaliwa kwa ghafla kiasi kile. Yusuf anaamini kuwa anamsindikiza Ami Aziz lakini ukweli ni kwamba 'ami' yake ni Mfanyabiashara, tena tajiri mkubwa, na Yusuf amewekwa rehani ili kulipia madeni ya baba yake.
Yusuf anajikuta anasafiri katika miji na vitongoji vingi vingine ambako anakutana na watu wa kila namna. Anabalehe na kukua kwenye dunia inayobadilika kwa kasi kutokana na kuingia kwa ukoloni na udhalimu wake na jamii kuharibika kwa kuvurugwa kwa utamaduni wake.
Hii ni tafsiri ya kwanza kwa riwaya za Abdulrazak Gurnah katika lugha ya Kiafrika.
Abdulrazak Gurnah ni mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi ya mwaka 2021. Ameandika riwaya kumi ikiwemo hii ya paradise. Gurnah ni Profesa wa Masomo ya Kiingereza na Fasihi za Kikoloni katika Chuo Kikuu cha Kent.
Dkt. Ida Hadjivayanis ni Mhadhiri Mwandamizi wa Masomo ya Kiswahili SOAS, Chuo kikuu cha London. Ametafsiri riwaya kadhaa kwa Kiswahili na Kiingereza.
Book details
- Paperback
- 262 pages
- English
- 9987449867
- 9789987449866
About Abdulrazak Gurnah
abdulrazak gurnah was born in 1948 in zanzibar and lives in england, where he teaches at the university of kent. he is the author of seven novels, which in Read More about Abdulrazak Gurnah
More Books By Abdulrazak Gurnah
People who bought this also bought
City Life: Urban Expectations In A New World book by Witold Rybczynski
Financial Intelligence for Entrepreneurs: What You Really Need to Know About the Numbers book by Karen Berman
The Prayer of Jabez: Breaking Through to the Blessed Life book by Bruce H. Wilkinson
Start a Small Business: The complete guide to starting a business book by David Weller
The Rookie Manager: A Guide to Surviving Your First Year in Management book by Joseph T. Straub
How to Talk to Absolutely Anyone: Confident communication in every situation book by Mark Rhodes
The Evolution of Everything: How New Ideas Emerge book by Matt Ridley
What are the Questions and Other Essays: Further Contributions to Modern Economics book by Joan Robinson
Bill of Wrongs: The Executive Branch's Assault on America's Fundamental Rights book by Molly Ivins
Professional Communication book by Goodheart-Willcox Publisher
The Spirit of Peace: A Fully Illustrated Guide to Love and Compassion in Everyday Life
Coming Up from the Down Low: The Journey to Acceptance, Healing, and Honest Love book by J.L. King
The Black Jacobins: Toussaint L'Ouverture and the San Domingo Revolution book by C.L.R. James
Your Study of the Old Testament Made Easier Box Set by David Ridges
Tiny Beautiful Things: Advice from Dear Sugar book by Cheryl Strayed
Leveraging the Universe: 7 Steps to Engaging Life's Magic book by Mike Dooley
On Job: God-Talk and the Suffering of the Innocent book by Gustavo Gutierrez